sw_tn/rev/02/10.md

989 B

Ibilisi anataka kuwatupa baadhi yenu gerezani

"Ibilisi atasababisha hivi punde wengine wawaweke baadhi yenu gerezani"

Iweni waaminifu hadi kufa

"Kuweni waaminifu kwangu hata kama watawaua". Matumizi ya neno "hadi" haimanishi kuwa uache kuwa mwaminifu wakati wa kifo.

taji

"taji la ushindi." Hili lilikua shada ambalo asili yake ilikua ya matawi ya mizeituni au majani ya laurusi ambayo yaliweka kwenye kichwa cha mwanariadha mshindi.

taji la uzima

Maana zinazowezekana ni 1)"taji linaloonesha kuwa nimekupa uzima wa milele" au 2)"uzima wa kweli kama dhawabu kama taji la mshindi"

Mwenye sikio asikie

Kuwa tayari kusikiliza inazungumziwa kama kuwa na sikio. "Acha ambaye yuko tayari kusikiliza asiklize" au "kama uko tayari kusikiliza, sikiliza"

Yeye ashindaye

hii humaanisha mtu yeyote atakayeshinda. "yeyote atakayekataa uovu" au "kwa wale ambao hawatakubali kufanya uovu"

hatapata madhara ya mauti ya pili

"hatapitia kifo cha pili" au "hatakufa mara ya pili"