Kauli Unganishi:
Mwandishi anawaamuru watu wote kumsifu Yahwe
mataifa yote
Neno "mataifa" linawakilisha watu wanoishi katika mataifa hayo. "watu wa mataifa yote"
vijana wanaume na wanawali, wazee na watoto
Mwandishi anatumia tofauti hizi za jinsia na umri kuwakilisha kila mtu.