sw_tn/psa/148/011.md

289 B

Kauli Unganishi:

Mwandishi anawaamuru watu wote kumsifu Yahwe

mataifa yote

Neno "mataifa" linawakilisha watu wanoishi katika mataifa hayo. "watu wa mataifa yote"

vijana wanaume na wanawali, wazee na watoto

Mwandishi anatumia tofauti hizi za jinsia na umri kuwakilisha kila mtu.