sw_tn/psa/143/007.md

1.0 KiB

roho yangu ni dhaifu

"mimi ni mnyonge" au "nimekata tamaa sana"

Usifiche uso wako kwangu

Hili ni ombi. "Nakuomba usijifiche kwangu" au "Tafadhali usijifiche kwangu"

Usifiche uso wako kwangu

Mwandishi anamzungumzia Yahwe kukataa kufanya kile ambacho mwandishi wa zaburi anaomba kana kwamba Yahwe alikuwa anakataa hata kumtazama. "Usikatae kunisikiliza" au "Tafadhali nisikilize"

Nitakuwa kama hao waendao shimoni

"Nitakuwa kama mtu mwingine tu aliyekufa"

Acha nisikie uaminifu wako wa agano

"Nisababishe kusikia uaminifu wako wa agano" au "Niambie uaminifu wako wa agano"

asubuhi

Maana zinazowezekana ni 1) asubuhi ni muda ambao watu wa wakati huo walidhani unafaa kuomba, au 2) "asubuhi kwa asubuhi," kila siku.

Nioneshe

"Niambie"

njia ninayopaswa kutembea

Mwandishi wa zaburi anazungumzia jinsi watu wanavyoishi kana kwamba ni njia ambayo wanatembea. "jinsi unavyotaka niishi"

kwa kuwa ninainua roho yangu kwako

Maana zinazowezekana ni 1) "ninaomba kwako" au 2) "ninaamini kuwa utaniongoza na kunilinda"