sw_tn/psa/139/019.md

271 B

nendeni mabli na mimi, nyie watu wenye vurugu

Mwandishi wa zaburi anajifanya kuzungumza moja kwa moja na watu wenye vurugu ambao anao akilini.

Wanaasi dhidi wako

"Wanaasi dhidi ya mamlaka yako, Mungu"

adui zako wanasema uongo

"adui zako wanadanganya kukuhusu"