sw_tn/psa/137/003.md

335 B

waliotuchukua mateka walitaka nyimbo kutoka kwetu

Hapa "nyimbo" inaashiria vitendo vya kuimba. "waliotuchukua mateka walitaka tuimbe"

walitaka tuwe na furaha

"walitufanya tujifanye kana kwamba tuna furaha"

moja ya nyimbo za Sayuni

Hii inaweza kumaanisha nyimbo ambazo Waisraeli walitumia katika kuabudu hekaluni Yerusalemu.