forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
335 B
Markdown
12 lines
335 B
Markdown
|
# waliotuchukua mateka walitaka nyimbo kutoka kwetu
|
||
|
|
||
|
Hapa "nyimbo" inaashiria vitendo vya kuimba. "waliotuchukua mateka walitaka tuimbe"
|
||
|
|
||
|
# walitaka tuwe na furaha
|
||
|
|
||
|
"walitufanya tujifanye kana kwamba tuna furaha"
|
||
|
|
||
|
# moja ya nyimbo za Sayuni
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kumaanisha nyimbo ambazo Waisraeli walitumia katika kuabudu hekaluni Yerusalemu.
|