sw_tn/psa/135/003.md

265 B

kwa kuwa ni vyema kufanya hivyo

"kwa sababu tunapata raha kwa kulisifu jina lake"

Yahwe amemchagua Yakobo

"Yakobo" hapa inamaanisha uzao wake, watu wa Israeli. "Yahwe amewachagua uzao wa Yakobo"

Israeli kama mali yake

"ameichagua Israeli kuwa mali yake"