forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
557 B
Markdown
16 lines
557 B
Markdown
# Kauli Unganishi:
|
|
|
|
Mungu anaendelea kuzungumzia mji wa Sayuni kana kwamba Sayuni ni mwanamke.
|
|
|
|
# Nitambariki sana
|
|
|
|
"Nitambariki sana Sayuni"
|
|
|
|
# Nitawaridhisha maskini wake kwa mkate
|
|
|
|
Hapa "maskini" inamaanisha watu maskini waliomo Sayuni. Hapa "mkate" inaweza kumaanisha chakula kwa ujumla. "Nitawaridhisha watu wa Sayuni kwa chakula"
|
|
|
|
# Nitawavika makuhani wake na wokovu
|
|
|
|
Wokovu unazungumziwa kana kwamba ni nguo. Maana zinazowezekana ni 1) "Nitawasababisha makuhani kuenenda kwa namna inayostahili ya wale niliowaokoa" au 2) "Nitawaokoa makuhani wake"
|