forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
608 B
Markdown
20 lines
608 B
Markdown
# Fanya wema, Yahwe
|
|
|
|
Hili ni ombi. Nomino dhahania "wema" inaweza kuelezwa kama tendo. "Yahwe, tafadhali fanya vitu vizuri" au "Yahwe, nakusihi ufanye vitu vizuri"
|
|
|
|
# walio sawa mioyoni mwao
|
|
|
|
Hapa "mioyoni" inamaanisha hamu. "hamu ya kufanya kilicho sawa"
|
|
|
|
# geukia
|
|
|
|
Kukataa kumti Yahwe kunazungumziwa kama kugeuka kutoka njia nzuri. "acha kizuri na kwenda"
|
|
|
|
# njia zao zilizopinda
|
|
|
|
Hapa njia za uovu zinazungumziwa kana kwamba zilikuwa ni njia ambayo haiko wima. "njia zao za uovu"
|
|
|
|
# atawaongoza
|
|
|
|
Watu wanaongozwa ili kuadhibiwa. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "kuwaongoza ili kuwaadhibu"
|