forked from WA-Catalog/sw_tn
608 B
608 B
Fanya wema, Yahwe
Hili ni ombi. Nomino dhahania "wema" inaweza kuelezwa kama tendo. "Yahwe, tafadhali fanya vitu vizuri" au "Yahwe, nakusihi ufanye vitu vizuri"
walio sawa mioyoni mwao
Hapa "mioyoni" inamaanisha hamu. "hamu ya kufanya kilicho sawa"
geukia
Kukataa kumti Yahwe kunazungumziwa kama kugeuka kutoka njia nzuri. "acha kizuri na kwenda"
njia zao zilizopinda
Hapa njia za uovu zinazungumziwa kana kwamba zilikuwa ni njia ambayo haiko wima. "njia zao za uovu"
atawaongoza
Watu wanaongozwa ili kuadhibiwa. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "kuwaongoza ili kuwaadhibu"