sw_tn/psa/125/004.md

608 B

Fanya wema, Yahwe

Hili ni ombi. Nomino dhahania "wema" inaweza kuelezwa kama tendo. "Yahwe, tafadhali fanya vitu vizuri" au "Yahwe, nakusihi ufanye vitu vizuri"

walio sawa mioyoni mwao

Hapa "mioyoni" inamaanisha hamu. "hamu ya kufanya kilicho sawa"

geukia

Kukataa kumti Yahwe kunazungumziwa kama kugeuka kutoka njia nzuri. "acha kizuri na kwenda"

njia zao zilizopinda

Hapa njia za uovu zinazungumziwa kana kwamba zilikuwa ni njia ambayo haiko wima. "njia zao za uovu"

atawaongoza

Watu wanaongozwa ili kuadhibiwa. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "kuwaongoza ili kuwaadhibu"