forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
317 B
Markdown
12 lines
317 B
Markdown
# Kamwe sitasahau
|
|
|
|
"Daima nitakumbuka"
|
|
|
|
# maana kwa hayo umeniweka hai
|
|
|
|
Inadokezwa kwamba mwandishi anatii maagizo ya Mungu. "kwa kuwa umeniweka kuwa hai kwa sababu ninazitii"
|
|
|
|
# kwa kuwa natafuta maagizo yako
|
|
|
|
Kujaribu kutii maagizo ya Mungu inazungumziwa kana kwamba maagizo ni kitu ambacho mtu anatakiwa kutafuta.
|