sw_tn/psa/119/093.md

317 B

Kamwe sitasahau

"Daima nitakumbuka"

maana kwa hayo umeniweka hai

Inadokezwa kwamba mwandishi anatii maagizo ya Mungu. "kwa kuwa umeniweka kuwa hai kwa sababu ninazitii"

kwa kuwa natafuta maagizo yako

Kujaribu kutii maagizo ya Mungu inazungumziwa kana kwamba maagizo ni kitu ambacho mtu anatakiwa kutafuta.