forked from WA-Catalog/sw_tn
317 B
317 B
Kamwe sitasahau
"Daima nitakumbuka"
maana kwa hayo umeniweka hai
Inadokezwa kwamba mwandishi anatii maagizo ya Mungu. "kwa kuwa umeniweka kuwa hai kwa sababu ninazitii"
kwa kuwa natafuta maagizo yako
Kujaribu kutii maagizo ya Mungu inazungumziwa kana kwamba maagizo ni kitu ambacho mtu anatakiwa kutafuta.