sw_tn/psa/119/065.md

12 lines
371 B
Markdown

# TETHI
Hili ni jina la herufi ya tisa ya alfabeti ya Kihebrania. Katika lugha ya Kihebrabia, kila mstari wa msistari ya 65-72 unaanza na herufi hii.
# kwa mtumishi wako
Mwandishi anajieleza kama "mtumishi wako." "kwangu, mtumishi wako" au "kwangu"
# kwa njia ya neno lako
Hii ni lahaja. "Neno lako" inamaanisha ahadi za Yahwe alizompa mwandishi. "kama ulivyoahidi"