sw_tn/psa/119/065.md

371 B

TETHI

Hili ni jina la herufi ya tisa ya alfabeti ya Kihebrania. Katika lugha ya Kihebrabia, kila mstari wa msistari ya 65-72 unaanza na herufi hii.

kwa mtumishi wako

Mwandishi anajieleza kama "mtumishi wako." "kwangu, mtumishi wako" au "kwangu"

kwa njia ya neno lako

Hii ni lahaja. "Neno lako" inamaanisha ahadi za Yahwe alizompa mwandishi. "kama ulivyoahidi"