sw_tn/psa/119/053.md

8 lines
276 B
Markdown

# Hasira ya moto imenishika
Hii ni lahaja. Hasira inaelezwa kana kwamba ni mtu anayeweza kumkamata mtu mwingine. "Nimekuwa na hasira sana"
# Sheria zako zimekuwa nyimbo zangu
"Nimetumia sheria zako kama maneno ya muziki wangu" au "Nimutunga nyimbo kutokana na sheria zako"