forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
276 B
Markdown
8 lines
276 B
Markdown
|
# Hasira ya moto imenishika
|
||
|
|
||
|
Hii ni lahaja. Hasira inaelezwa kana kwamba ni mtu anayeweza kumkamata mtu mwingine. "Nimekuwa na hasira sana"
|
||
|
|
||
|
# Sheria zako zimekuwa nyimbo zangu
|
||
|
|
||
|
"Nimetumia sheria zako kama maneno ya muziki wangu" au "Nimutunga nyimbo kutokana na sheria zako"
|