sw_tn/psa/119/047.md

246 B

Ninafurahi katika amri zako

Maana zinazowezekana ni 1) "Ninapata furaha katika kusoma amri zako" au 2) "Ninafuraha kuwa nina nafasi ya kusoma amri zako"

nitainua mikono yangu

Hii ni lahaja inayomaanisha kutunza au kuheshimu amri za mungu.