sw_tn/psa/119/039.md

647 B

ninayo hofu

"ninaogopa sana"

hukumu zako za haki ni nzuri

Mungu anahukumu kwa haki na maamuzi yake ni mema. "Hukumu yako ni ya haki na njema"

Tazama

Hii ni lahaja. Hapa "Tazama" inamaanisha kuwa na ufahamu kuhusu jambo. Panapo lengwa ni maarifa na uelewa, na sio tu kutazama.

Nina shauku na maagizo yako

Maana zinazowezekana ni 1) "Ninataka sana kujua maagizo yako" au 2) "Ninataka sana kutii kile unachotufundisha kufanya"

nifufue katika haki yako

Neno "haki" ni nomino dhahania na inamaanisha kuwa mwenye haki. "nifufue kwa kuwa una haki"

nifufue

Maana zinazowezekana ni 1) "Niweke kuwa hai" au 2) "Nifanye kuwa na nguvu"