forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
647 B
Markdown
24 lines
647 B
Markdown
|
# ninayo hofu
|
||
|
|
||
|
"ninaogopa sana"
|
||
|
|
||
|
# hukumu zako za haki ni nzuri
|
||
|
|
||
|
Mungu anahukumu kwa haki na maamuzi yake ni mema. "Hukumu yako ni ya haki na njema"
|
||
|
|
||
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
Hii ni lahaja. Hapa "Tazama" inamaanisha kuwa na ufahamu kuhusu jambo. Panapo lengwa ni maarifa na uelewa, na sio tu kutazama.
|
||
|
|
||
|
# Nina shauku na maagizo yako
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) "Ninataka sana kujua maagizo yako" au 2) "Ninataka sana kutii kile unachotufundisha kufanya"
|
||
|
|
||
|
# nifufue katika haki yako
|
||
|
|
||
|
Neno "haki" ni nomino dhahania na inamaanisha kuwa mwenye haki. "nifufue kwa kuwa una haki"
|
||
|
|
||
|
# nifufue
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) "Niweke kuwa hai" au 2) "Nifanye kuwa na nguvu"
|