forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
641 B
Markdown
28 lines
641 B
Markdown
# Amebarikiwa anayekuja kwa jina la Yahwe
|
|
|
|
Hapa makuhani wanaanza kuzungumza na mfalme.
|
|
|
|
# anayekuja kwa jina la Yahwe
|
|
|
|
Hapa neno "jina" linawakilisha uwezo wa Yahwe. "yule anayekuja katika nguvu ya Yahwe"
|
|
|
|
# tutakubariki kutoka katika nyumba ya Yahwe
|
|
|
|
Hapa makuhani wanazungumza na watu.
|
|
|
|
# nyumba ya Yahwe
|
|
|
|
Neno "nyumba" linamaanisha hekalu. "hekalu la Yahwe"
|
|
|
|
# ametupa nuru
|
|
|
|
Mwandishi anamzungumzia Yahwe kuwabariki watu wake kana kwamba Yahwe anamulika mwanga juu yao. "ametubariki"
|
|
|
|
# funga sadaka kwa kamba
|
|
|
|
"kaza sadaka kwa kamba"
|
|
|
|
# Wewe ni Mungu wangu
|
|
|
|
Hapa mwandishi anaanza kuzungumza tena na anazungumza na Yahwe moja kwa moja.
|