sw_tn/psa/118/026.md

641 B

Amebarikiwa anayekuja kwa jina la Yahwe

Hapa makuhani wanaanza kuzungumza na mfalme.

anayekuja kwa jina la Yahwe

Hapa neno "jina" linawakilisha uwezo wa Yahwe. "yule anayekuja katika nguvu ya Yahwe"

tutakubariki kutoka katika nyumba ya Yahwe

Hapa makuhani wanazungumza na watu.

nyumba ya Yahwe

Neno "nyumba" linamaanisha hekalu. "hekalu la Yahwe"

ametupa nuru

Mwandishi anamzungumzia Yahwe kuwabariki watu wake kana kwamba Yahwe anamulika mwanga juu yao. "ametubariki"

funga sadaka kwa kamba

"kaza sadaka kwa kamba"

Wewe ni Mungu wangu

Hapa mwandishi anaanza kuzungumza tena na anazungumza na Yahwe moja kwa moja.