forked from WA-Catalog/sw_tn
398 B
398 B
Nifungulie malango ya haki
Nifungulie malango ambayo watu wenye haki hupita." Hii inamaanisha malango ya hekalu, na mwandishi anawaambia walinzi wa malango. "Nifungulieni malango ya hekalu"
lango la Yahwe
"lango unaowaongoza watu kuelekea katika uwepo wa Yahwe " au "lango la Yahwe"
nitatoa shukrani kwako
Hapa mwandishi anaanza kuzungumza na Yahwe.
umekuwa wokovu wangu
"uliniokoa"