sw_tn/psa/118/019.md

398 B

Nifungulie malango ya haki

Nifungulie malango ambayo watu wenye haki hupita." Hii inamaanisha malango ya hekalu, na mwandishi anawaambia walinzi wa malango. "Nifungulieni malango ya hekalu"

lango la Yahwe

"lango unaowaongoza watu kuelekea katika uwepo wa Yahwe " au "lango la Yahwe"

nitatoa shukrani kwako

Hapa mwandishi anaanza kuzungumza na Yahwe.

umekuwa wokovu wangu

"uliniokoa"