forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
398 B
Markdown
16 lines
398 B
Markdown
|
# Nifungulie malango ya haki
|
||
|
|
||
|
Nifungulie malango ambayo watu wenye haki hupita." Hii inamaanisha malango ya hekalu, na mwandishi anawaambia walinzi wa malango. "Nifungulieni malango ya hekalu"
|
||
|
|
||
|
# lango la Yahwe
|
||
|
|
||
|
"lango unaowaongoza watu kuelekea katika uwepo wa Yahwe " au "lango la Yahwe"
|
||
|
|
||
|
# nitatoa shukrani kwako
|
||
|
|
||
|
Hapa mwandishi anaanza kuzungumza na Yahwe.
|
||
|
|
||
|
# umekuwa wokovu wangu
|
||
|
|
||
|
"uliniokoa"
|