sw_tn/psa/118/017.md

342 B

Sitakufa, bali nitaishi

Mwandishi anaeleza wazo moja kwa njia hasi na chanya kusisitiza kuwa hakika ataishi.

Yahwe ameniadhibu

"Yahwe amenifundisha"

hajanikabidhi kwa mauti

Mwandishi anazungumzia mauti kana kwamba ni mtu ambaye Yahwe anaweza kumweka mtu chini ya uwezo wake. "hajaniruhusu kufa" au "hajawaruhusu adui zangu kuniua"