forked from WA-Catalog/sw_tn
342 B
342 B
Sitakufa, bali nitaishi
Mwandishi anaeleza wazo moja kwa njia hasi na chanya kusisitiza kuwa hakika ataishi.
Yahwe ameniadhibu
"Yahwe amenifundisha"
hajanikabidhi kwa mauti
Mwandishi anazungumzia mauti kana kwamba ni mtu ambaye Yahwe anaweza kumweka mtu chini ya uwezo wake. "hajaniruhusu kufa" au "hajawaruhusu adui zangu kuniua"