sw_tn/psa/107/041.md

776 B

Lakina ana...

"Lakini Yahwe"

wahitaji

Hii inamaanisha watu wahitaji. "watu wahitaji" au "watu maskini"

hujali familia zake kama kundi

Hapa Daudi analinganisha jinsi Yahwe anavyowajali watu wake na jinsi mchungaji anavyojali kondoo wake. Maana zinazowezekana ni 1) "hufanya idadi ya watu kwatika famila zao kuongezeka kama kundi" au 2) "huwajali kama mchungaji anavyojali kondoo wake"

Wanyofu

Hii inamaanisha watu wanaoishi maisha ya unyofu. "Watu wanyofu" au "Watu wanaofanya kilicho sawa"

uovu wote

Hapa watu waovu wanazungumziwa kama "uovu." "watu wote waovu"

huziba mdomo

hii inamaanisha kutokujibu kitu. "hana kitu cha kumjibu Yahwe"

ayaangalie mambo haya yote

Hii namaanisha kuwaza vitu hivi. "kuwaza kuhusu hivi vitu" au "kukumbuka hivi vitu"