forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
448 B
Markdown
16 lines
448 B
Markdown
# Walikuwa wapumbavu katika njia zao za uasi
|
|
|
|
"Walikuwa wapumbavu jinsi walivyoasi dhidi ya Yahwe"
|
|
|
|
# na kuteswa
|
|
|
|
"na waliteseka." Kwa bayaba waliteseka kwa kuugua. "na wakawa wagonjwa"
|
|
|
|
# wakaja karibu na malango ya kifo
|
|
|
|
Hapa tendo la "kufa" linaelezwa kama sehemu, "malango ya kifo" "kidogo wafe"
|
|
|
|
# Kisha wakamuita Yahwe katika tabu yao
|
|
|
|
Inaashiriwa kuwa wanaomba kwa Yahwe ili awasaidie. "Kisha wakaomba kwa Yahwe kuwasaidia katika shida yao"
|