sw_tn/psa/107/017.md

448 B

Walikuwa wapumbavu katika njia zao za uasi

"Walikuwa wapumbavu jinsi walivyoasi dhidi ya Yahwe"

na kuteswa

"na waliteseka." Kwa bayaba waliteseka kwa kuugua. "na wakawa wagonjwa"

wakaja karibu na malango ya kifo

Hapa tendo la "kufa" linaelezwa kama sehemu, "malango ya kifo" "kidogo wafe"

Kisha wakamuita Yahwe katika tabu yao

Inaashiriwa kuwa wanaomba kwa Yahwe ili awasaidie. "Kisha wakaomba kwa Yahwe kuwasaidia katika shida yao"