forked from WA-Catalog/sw_tn
448 B
448 B
Walikuwa wapumbavu katika njia zao za uasi
"Walikuwa wapumbavu jinsi walivyoasi dhidi ya Yahwe"
na kuteswa
"na waliteseka." Kwa bayaba waliteseka kwa kuugua. "na wakawa wagonjwa"
wakaja karibu na malango ya kifo
Hapa tendo la "kufa" linaelezwa kama sehemu, "malango ya kifo" "kidogo wafe"
Kisha wakamuita Yahwe katika tabu yao
Inaashiriwa kuwa wanaomba kwa Yahwe ili awasaidie. "Kisha wakaomba kwa Yahwe kuwasaidia katika shida yao"