sw_tn/psa/106/042.md

315 B

na wakaletwa chini ya mamlaka yao

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "na adui zao walisababisha wao kuwa chini ya mamlaka yao"

wakashushwa chini kwa dhambi yao wenyewe

Hapa msemo "kushushwa chini" ina maana ya kuangamizwa. Pia, hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "dhambi yao iliwaharibu"