sw_tn/psa/106/010.md

584 B

Aliwaokoa kutoka katika mkono ... na akawaokoa kutoka katika mkono

Misemo hii miwili kimsingi ina maana moja na inatumika pamoja kusisitiza ya kwamba Yahwe aliwaokoa kutoka kwa adui zao.

mkono wa wale ambao walimchukia

Hapa "mkono" una maana ya uwezo na utawala. "uwezo wa wale ambao walimchukia" au "utawala wa wale ambao walimchukia"

yaliwafunika wapinzani wao

Hii ni njia ya upole ya kuzungumza kuhusu yao kuzama majini. "alizamisha majini maadui zake"

Kisha wakaamini maneno yake

Hapa nano "wakaamini" ina maana ya "mababu zao" na neno "yake" ina maana ya "Yahwe".