sw_tn/psa/103/017.md

607 B

ni kutoka milele mpaka milele

Hii ina maana ya kwamba upendo wa Yahwe huendelea milele. "utaendelea milele"

vizazi vyao

"vizazi vya wale ambao humuinua yeye"

Wanashika agano lake na kukumbuka kutii maelekezo yake

Misemo hii miwili ina maana za kufanana.

Yahwe ameimarisha kiti chake cha enzi katika mbingu

Hapa utawala wa Yahwe kama mfalme unamaanishwa kama "kiti chake cha enzi". "Yahwe amechukua kiti chake katika mbingu ambapo hutawala kama mfalme"

ameimarisha

"alifanya"

ufalme wake hutawala

Hapa Yahwe anaelezwa kuwa "ufalme wake" kusisitiza mamlaka yake kama mfalme. "hutawala"