sw_tn/psa/103/009.md

346 B

Hataadabisha wakati wote; hakasiriki kila mara

Misemo hii miwili ina maana za kufanana. Msemo wa pili unaimarisha wazo la kwanza.

Hatufanyii ... au kutulipa

Misemo hii miwili ina usambamba na inasisitiza kwamba Mungu hatuadhibu kama tunavyostahili. "Hatulipi kwa adhabu tunayostahili kwa ajili ya dhambi zetu"

Hatufanyii

"Hautuadhibu"