forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
651 B
Markdown
24 lines
651 B
Markdown
# uovu
|
|
|
|
"chochote kilicho kiovu"
|
|
|
|
# mwenye mwenendo wa dharau na kiburi
|
|
|
|
Misemo hii miwili ina maana moja na inasisitiza jinsi watu wa hivyo walivyo na kiburi.
|
|
|
|
# mwenendo
|
|
|
|
"fikra" au "tabia"
|
|
|
|
# Nitamtazama mwaminifu wa nchi kuketi pembeni kwangu
|
|
|
|
Hii inamaanisha kuwa Daudi angewaruhusu wale watu hao kuwa karibu naye na kuishi naye. "Nitawaruhusu waaminifu wa nchi kuishi na mimi"
|
|
|
|
# mwaminifu
|
|
|
|
Hii inamaanisha watu walio waaminifu kwa Mungu. "watu waaminifu"
|
|
|
|
# wanaotembea katika njia ya uadilifu
|
|
|
|
Hapa Daudi anazungumzia "kuishi" kana kwamba ilikuwa "kutembea." "ishi kwatika njia iliyo ya uwazi na sawa" au "wanaoishi maisha yaliyojaa uadilifu"
|