sw_tn/psa/101/004.md

651 B

uovu

"chochote kilicho kiovu"

mwenye mwenendo wa dharau na kiburi

Misemo hii miwili ina maana moja na inasisitiza jinsi watu wa hivyo walivyo na kiburi.

mwenendo

"fikra" au "tabia"

Nitamtazama mwaminifu wa nchi kuketi pembeni kwangu

Hii inamaanisha kuwa Daudi angewaruhusu wale watu hao kuwa karibu naye na kuishi naye. "Nitawaruhusu waaminifu wa nchi kuishi na mimi"

mwaminifu

Hii inamaanisha watu walio waaminifu kwa Mungu. "watu waaminifu"

wanaotembea katika njia ya uadilifu

Hapa Daudi anazungumzia "kuishi" kana kwamba ilikuwa "kutembea." "ishi kwatika njia iliyo ya uwazi na sawa" au "wanaoishi maisha yaliyojaa uadilifu"