sw_tn/psa/099/004.md

308 B

anapenda haki

Nomino dhahania "haki" inaweza kutafsiriwa kutumia msemo "kilicho cha haki." "anapenda kufanya kilicho cha haki"

Umeimarisha usawa

Nomino dhahania ya "usawa" ni njia nyingine ya kusema sheria zilizo na usawa. "Sheria ulizoweka zina usawa"

miguuni pake

"mbele ya kiti chake cha enzi"