forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
931 B
Markdown
32 lines
931 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.
|
|
|
|
# mataifa
|
|
|
|
Hii inamaanisha watu wa mataifa. "watu wa mataifa yote"
|
|
|
|
# yatetemeke
|
|
|
|
kutetemeka kwa hofu
|
|
|
|
# Ameketi amesimikwa juu ya makerubi
|
|
|
|
Mwandishi wa zaburi anazungumza kana kwamba kiti cha enzi ambacho yahwe hukaa ni juu ya makerubi kwenye mfuniko wa amri za sanduku la agano hekaluni.
|
|
|
|
# inatetemeka
|
|
|
|
inatikisika
|
|
|
|
# Yahwe ni mkuu Sayuni; ameinuliwa juu ya mataifa yote
|
|
|
|
"Sio tu kwamba Yahwe ni mkuu sayuni, ametukuka juu ya mataifa yote" au "Sio tu kwamba Yahwe anatawala Sayuni, anatawala juu ya mataifa yote"
|
|
|
|
# ameinuliwa juu ya mataifa yote
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "watu katika mataifa yote wanamtukuza" au "watu katika mataifa yote wanamsifu sana"
|
|
|
|
# Acha walisifu jina lako kuu na la ajabu
|
|
|
|
Hapa mwandishi anahama kutoka kumzungumzia Mungu na kuzungumza na Mungu. Ingawa baada ya msemo huu, anarudi tena kumzungumzia Mungu.
|