sw_tn/psa/099/001.md

931 B

Taarifa ya Jumla:

Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.

mataifa

Hii inamaanisha watu wa mataifa. "watu wa mataifa yote"

yatetemeke

kutetemeka kwa hofu

Ameketi amesimikwa juu ya makerubi

Mwandishi wa zaburi anazungumza kana kwamba kiti cha enzi ambacho yahwe hukaa ni juu ya makerubi kwenye mfuniko wa amri za sanduku la agano hekaluni.

inatetemeka

inatikisika

Yahwe ni mkuu Sayuni; ameinuliwa juu ya mataifa yote

"Sio tu kwamba Yahwe ni mkuu sayuni, ametukuka juu ya mataifa yote" au "Sio tu kwamba Yahwe anatawala Sayuni, anatawala juu ya mataifa yote"

ameinuliwa juu ya mataifa yote

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "watu katika mataifa yote wanamtukuza" au "watu katika mataifa yote wanamsifu sana"

Acha walisifu jina lako kuu na la ajabu

Hapa mwandishi anahama kutoka kumzungumzia Mungu na kuzungumza na Mungu. Ingawa baada ya msemo huu, anarudi tena kumzungumzia Mungu.