forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
427 B
Markdown
16 lines
427 B
Markdown
# Mpeni Yahwe sifa ... mpeni Yahwe kwa utukufu wake na nguvu
|
|
|
|
"Msifuni Yahwe ... msifuni Yahwe kwa kuwa anautukufu na nguvu."
|
|
|
|
# Mpeni Yahwe utukufu ambao jina lake linastahili
|
|
|
|
"Mpeni heshima Yahwe kama jina lake linavyostahili" au "Tangaza kuwa Yahwe ni mtukufu kama jina lake linavyostahili."
|
|
|
|
# jina lake
|
|
|
|
"jina" linamaanisha Mungu. "yeye"
|
|
|
|
# nyua zake
|
|
|
|
baraza la hekalu ambapo makuhani walitoa sadaka ya wanyama kwa Yahwe
|