sw_tn/psa/096/007.md

427 B

Mpeni Yahwe sifa ... mpeni Yahwe kwa utukufu wake na nguvu

"Msifuni Yahwe ... msifuni Yahwe kwa kuwa anautukufu na nguvu."

Mpeni Yahwe utukufu ambao jina lake linastahili

"Mpeni heshima Yahwe kama jina lake linavyostahili" au "Tangaza kuwa Yahwe ni mtukufu kama jina lake linavyostahili."

jina lake

"jina" linamaanisha Mungu. "yeye"

nyua zake

baraza la hekalu ambapo makuhani walitoa sadaka ya wanyama kwa Yahwe