forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
669 B
Markdown
16 lines
669 B
Markdown
# Kama Yahwe asingekuwa msaada wangu ... ukimya
|
|
|
|
Hii ni hali ya kubuni. Yahwe alimsaidia, kwa hiyo hakuwa amelala katika sehemu ya ukimya.
|
|
|
|
# Kama Yahwe asingekuwa msaada wangu
|
|
|
|
"Kama Yahwe asingenisaidia"
|
|
|
|
# ningekuwa nimelala chini hivi punde kwenye sehemu ya ukimya
|
|
|
|
Hapa" ningekuwa nimelala chini" inamaanisha "mauti" na "sehemu ya ukimya" inamaanisha "kaburi." "katika muda mfupi, nitakuwa nimekufa, nikiwa nimelala kaburini"
|
|
|
|
# Wasiwasi ndani yangu ukiwa mwingi, faraja zako hunifurahisha
|
|
|
|
Mwandishi anazungumzia wasiwasi kana kwamba anaweza kuhesabu kwa kutenganisha wasiwasi. "Ninapokuwa na wasiwasi kuhusu mambo mengi, umenifariji na kunifanya kuwa na furaha"
|