forked from WA-Catalog/sw_tn
669 B
669 B
Kama Yahwe asingekuwa msaada wangu ... ukimya
Hii ni hali ya kubuni. Yahwe alimsaidia, kwa hiyo hakuwa amelala katika sehemu ya ukimya.
Kama Yahwe asingekuwa msaada wangu
"Kama Yahwe asingenisaidia"
ningekuwa nimelala chini hivi punde kwenye sehemu ya ukimya
Hapa" ningekuwa nimelala chini" inamaanisha "mauti" na "sehemu ya ukimya" inamaanisha "kaburi." "katika muda mfupi, nitakuwa nimekufa, nikiwa nimelala kaburini"
Wasiwasi ndani yangu ukiwa mwingi, faraja zako hunifurahisha
Mwandishi anazungumzia wasiwasi kana kwamba anaweza kuhesabu kwa kutenganisha wasiwasi. "Ninapokuwa na wasiwasi kuhusu mambo mengi, umenifariji na kunifanya kuwa na furaha"