sw_tn/psa/092/008.md

287 B

Hakika, watazame adui zako, Yahwe

Maandishi mengi hayana maneno haya.

Wataangamia

"Watakufa" au "Utawaua"

Wale wote wanaofanya maovu watatawanywa

"utawatawanya wote wanaofanya uovu"

watatawanywa

Maandishi mengi yameandikwa, "wametawanywa."

watatawanywa

"wataondolewa"