Hakika, watazame adui zako, Yahwe
Maandishi mengi hayana maneno haya.
Wataangamia
"Watakufa" au "Utawaua"
Wale wote wanaofanya maovu watatawanywa
"utawatawanya wote wanaofanya uovu"
watatawanywa
Maandishi mengi yameandikwa, "wametawanywa."
watatawanywa
"wataondolewa"