forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
567 B
Markdown
20 lines
567 B
Markdown
# Kwa sabau amejitoa kwangu
|
|
|
|
"Kwa sababu ananipenda mimi"
|
|
|
|
# Nitakuwa naye katika taabu
|
|
|
|
"Nitakuwa naye wakati yuko katika taabu"
|
|
|
|
# nitampa ushindi
|
|
|
|
"nitamwezesha kuwashinda adui zake"
|
|
|
|
# nitamridhisha na maisha marefu
|
|
|
|
Mwandishi anazungumzia maisha kana kwamba ni kitu ambacho mtu anaweza kula. Nitamruhusu kuishi maisha marefu na yenye furaha"
|
|
|
|
# na kumwonesha wokovu wangu
|
|
|
|
"na nitamwonesha wokovu wangu." Mwandishi wa zaburi anazungumzia kazi ambayo Mungu hufanya kuwaokoa watu kana kwamba ni kitu chenye umbo. "Nitamwokoa ili ajue kuwa mimi ndiye niliyemwokoa"
|