sw_tn/psa/091/014.md

567 B

Kwa sabau amejitoa kwangu

"Kwa sababu ananipenda mimi"

Nitakuwa naye katika taabu

"Nitakuwa naye wakati yuko katika taabu"

nitampa ushindi

"nitamwezesha kuwashinda adui zake"

nitamridhisha na maisha marefu

Mwandishi anazungumzia maisha kana kwamba ni kitu ambacho mtu anaweza kula. Nitamruhusu kuishi maisha marefu na yenye furaha"

na kumwonesha wokovu wangu

"na nitamwonesha wokovu wangu." Mwandishi wa zaburi anazungumzia kazi ambayo Mungu hufanya kuwaokoa watu kana kwamba ni kitu chenye umbo. "Nitamwokoa ili ajue kuwa mimi ndiye niliyemwokoa"