forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
393 B
Markdown
16 lines
393 B
Markdown
# Utatazama na kuona
|
|
|
|
"Wewe mwenyewe hautateseka, lakini utatazama kwa makini, na utaona"
|
|
|
|
# adhabu ya waovu
|
|
|
|
"jinsi Mungu anvyowaadhibu waovu"
|
|
|
|
# Yahwe ni kimbilio langu
|
|
|
|
"Yahwe ndiye ninayemfuata ninapohitaji mtu wa kunilinda"
|
|
|
|
# Mfanye Aliye juu kimbilio lako pia
|
|
|
|
"Unapaswa kumfanya Aliye juu awe kimbilio lako pia." Mwandishi anaacha kuzungumza na Mungu na anaanza kuzungumza na msomaji.
|