sw_tn/psa/091/008.md

393 B

Utatazama na kuona

"Wewe mwenyewe hautateseka, lakini utatazama kwa makini, na utaona"

adhabu ya waovu

"jinsi Mungu anvyowaadhibu waovu"

Yahwe ni kimbilio langu

"Yahwe ndiye ninayemfuata ninapohitaji mtu wa kunilinda"

Mfanye Aliye juu kimbilio lako pia

"Unapaswa kumfanya Aliye juu awe kimbilio lako pia." Mwandishi anaacha kuzungumza na Mungu na anaanza kuzungumza na msomaji.