forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
835 B
Markdown
32 lines
835 B
Markdown
# Amebarikiwe mtu
|
|
|
|
Hapa "mtu" inamaanisha watu kwa ujumla.
|
|
|
|
# ambaye nguvu yake iko katika wewe
|
|
|
|
Mungu anazungumziwa kana kwamba nguvu kweli ilipatikana ndani yake. "ambaye unamtia nguvu"
|
|
|
|
# ambaye moyoni mwake ni njia za kwenda Sayuni
|
|
|
|
Msemo huu unahusu hamu ya kweli kutoka moyoni. "Wanaopenda kwenda juu Sayuni" au "Wanaotaka kwa dhati kwenda juu Sayuni"
|
|
|
|
# njia
|
|
|
|
"barabara kuu"
|
|
|
|
# za kwenda Sayuni
|
|
|
|
Hekalu lilikuwa Yerusalemu juu ya kilima kirefu zaidi, kiitwacho mlima Sayuni.
|
|
|
|
# mabonde ya Machozi
|
|
|
|
Hii inamaanisha sehemu iliyokauka. Biblia zingine zina "bonde la Baka." neno "Baka" linamaanisha kulia."
|
|
|
|
# Mvua za mapema
|
|
|
|
Hii inamaanisha mvua inayodondoka katika majira ya kupukutika kwa majani kabla ya majira ya baridi. Hiki ni kipindi cha miezi ya Oktoba na Novemba katika kalenda za magharibi.
|
|
|
|
# baraka
|
|
|
|
"mabwawa ya maji"
|