sw_tn/psa/084/005.md

835 B

Amebarikiwe mtu

Hapa "mtu" inamaanisha watu kwa ujumla.

ambaye nguvu yake iko katika wewe

Mungu anazungumziwa kana kwamba nguvu kweli ilipatikana ndani yake. "ambaye unamtia nguvu"

ambaye moyoni mwake ni njia za kwenda Sayuni

Msemo huu unahusu hamu ya kweli kutoka moyoni. "Wanaopenda kwenda juu Sayuni" au "Wanaotaka kwa dhati kwenda juu Sayuni"

njia

"barabara kuu"

za kwenda Sayuni

Hekalu lilikuwa Yerusalemu juu ya kilima kirefu zaidi, kiitwacho mlima Sayuni.

mabonde ya Machozi

Hii inamaanisha sehemu iliyokauka. Biblia zingine zina "bonde la Baka." neno "Baka" linamaanisha kulia."

Mvua za mapema

Hii inamaanisha mvua inayodondoka katika majira ya kupukutika kwa majani kabla ya majira ya baridi. Hiki ni kipindi cha miezi ya Oktoba na Novemba katika kalenda za magharibi.

baraka

"mabwawa ya maji"