forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
611 B
Markdown
16 lines
611 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Mwandishi anatumia tashbihi kuelezea uharibifu kamili wa Mungu kwa adui wa Israeli.
|
|
|
|
# wafanya kuwa kama mavumbi yanayozunguka, kama makapi mbele ya upepo
|
|
|
|
Kauli zote mbili zinazungumzia Mungu kuangamiza adui zake kana kwamba alikuwa upepo mkali unaowapuliza kwa urahisi.
|
|
|
|
# kama moto unaochoma msitu, na moto unaoweka milima katika moto
|
|
|
|
Kauli zote mbili zinazungumzia adhabu ya Mungu kana kwamba ni moto, na adui wa Mungu ni vitu vinavyoungua katika moto.
|
|
|
|
# Wafukuze kwa upepo wako wenye nguvu, na watishe kwa dhoruba yako
|
|
|
|
Kauli zote mbili zinamwomba Mungu kuangamiza adui kwa dhoruba.
|