forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
401 B
Markdown
12 lines
401 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Sasa Yahwe anaeleza nini kilitokea baada ya kuwaonya watu.
|
|
|
|
# maneno yangu
|
|
|
|
Hapa "maneno" yanawakilisha kile ambacho Mungu alisema. "kwa kile nilichosema" au "kwangu"
|
|
|
|
# Kwa hiyo nikawapa kwa njia yao wenyewe ya usumbufu
|
|
|
|
Mungu kuwaruhusu watu kubaki wasumbufu inazungumziwa kana kwamba Mungu alikuwa akiwapa kwa adui kumwacha adui awadhuru. "Kwa hiyo, ninawaacha wawe wasumbufu"
|