sw_tn/psa/081/011.md

401 B

Taarifa ya Jumla:

Sasa Yahwe anaeleza nini kilitokea baada ya kuwaonya watu.

maneno yangu

Hapa "maneno" yanawakilisha kile ambacho Mungu alisema. "kwa kile nilichosema" au "kwangu"

Kwa hiyo nikawapa kwa njia yao wenyewe ya usumbufu

Mungu kuwaruhusu watu kubaki wasumbufu inazungumziwa kana kwamba Mungu alikuwa akiwapa kwa adui kumwacha adui awadhuru. "Kwa hiyo, ninawaacha wawe wasumbufu"